Vita Kuu ya Pili ya Dunia ilikuwa vita iliyodumu kuanzia mwaka 1939 hadi 1945 kati ya Ujerumani, Italia, Japani na mataifa yaliyoshikamana nazo (Romania, Hungaria na Bulgaria) dhidi ya nchi nyingi za dunia (ziliitwa mataifa ya ushirikiano) kati yake hasa Uingereza, Uchina, Urusi na Marekani.
Vita vya pili vya dunia viliisha mwaka gani?
Ground Truth Answers: 19451945
Prediction:
Mwaka 1945 iliona mwisho wa vita. Mataifa mengi yaliyokuwa mbali, kama Argentina, Peru au Mongolia, yalitangaza pia hali ya vita dhidi ya Ujerumani na Japani. Pia nchi zilizowahi kushikamana na Wajerumani waligeukia mataifa ya ushirikiano. Ujerumani yenyewe ilivamiwa kutoka Magharibi na Mashariki. Warusi walifika mji mkuu wa Berlin na Adolf Hitler alijiua tarehe 30 Aprili 1945; wanajeshi wake walitia sahihi mkataba wa kusalimu amri tarehe 8-9 Mei 1945.
Vita vya pili vya dunia viliisha mwaka gani?
Ground Truth Answers: 1945
Prediction: